Mohamed Salah akishangilia na Virgil van Dijk baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Wolverhampton Wanderers usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Molineux, West Midlands. Bao la pili la Liverpool lilifungwa na Virgil van Dijk dakika ya 68 na kwa ushindi huo timu ya kocha Jurgen Klopp inafikisha pointi 48 baada ya kucheza mechi 18, ikiendelea kuongoza ligi kwa pointi nne zaidi ya Manchester City wenye pointi 44 za mechi 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristiano Ronaldo hits out at 'f***ing clueless' coaches he's played for -
as he appears to take fresh swipe at Erik ten Hag after bitter Man United
exit
-
Having spent over two decades at the highest level, Ronaldo has worked
under some of the sport's biggest names, including Sir Alex Ferguson , Jose
Mourinho...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment