Mshambuliaji Mohamed 'Mo' Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili kwa penalti dakika ya 47 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Dejan Lovren dakika ya 11, Xherdan Shaqiri dakika ya 79 na Fabinho dakika ya 85 na kwa ushindi huo, kikosi cha kocha Mjerumani Jurgen Klopp kinafikisha pointi 51 baada ya kucheza mechi 19, kikiendelea kuongoza ligi hiyo, kikifuatiwa na Tottenham Hotspur wenye pointi 45 za mechi 19, Manchester City pointi 44 mechi 19, Chelsea pointi 40 mechi 19 na Arsenal wenye pointi 38 za mechi 19 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham technical director Tim Steidten LEAVES the club just weeks after
Graham Potter's arrival - with huge scrutiny facing Hammers' chief
following £130m summer spree
-
Mail Sport reported last week that the German was on his way out of the
Hammers after facing huge scrutiny over the club's summer transfer dealings
that sa...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment