Wilfried Ndidi wa Leicester City akiuwahi mpira dhidi ya Kevin De Bruyne katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa King Power mjini Leicester. Leicester City ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Marc Albrighton dakika ya 19 na Ricardo Pereira dakika ya 81, wakati la Man City lilifungwa na Bernardo Silva dakika ya 14 na baada ya kipigo hicho cha pili mfululizo na cha tatu jumla cha msimu, sasa kikosi cha kocha Pep Guardiola kinazidiwa pointi sita na vinara, Liverpool (49-44) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The day Lukaku looked like the next Drogba
-
BBC Sport looks back at Romelu Lukaku's performance on this day eight years
ago when the Belgian scored four goals in a 6-3 win for Everton against
Bournem...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment