Wilfried Ndidi wa Leicester City akiuwahi mpira dhidi ya Kevin De Bruyne katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa King Power mjini Leicester. Leicester City ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Marc Albrighton dakika ya 19 na Ricardo Pereira dakika ya 81, wakati la Man City lilifungwa na Bernardo Silva dakika ya 14 na baada ya kipigo hicho cha pili mfululizo na cha tatu jumla cha msimu, sasa kikosi cha kocha Pep Guardiola kinazidiwa pointi sita na vinara, Liverpool (49-44) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghanaian winger Emmanuel Addai wins Azerbaijani league title with Qarabag FK
-
Ghanaian winger Emmanuel Addai has won his first league title with
Azerbaijani giants Qarabag FK. The 23-year-old started and lasted 85
minutes of the 1-1...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment