Edin Hazard akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 33 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion leo Uwanja wa Amex kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Hazard pia alitoa pasi ya bao la kwanza la The Blues lililofungwa na Pedro dakika ya 17, wakati la Brighton limefugwa na Solly March dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Slot thanks Klopp moments after Liverpool win title
-
Liverpool manager Arne Slot pays tribute to his predecessor Jurgen Klopp
moments after the club clinched the Premier League title.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment