Mshambuliaji Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 45 na ushei, likiwa bao lake la 100 tangu ajiunge na klabu hiyo, kabla ya kufunga na la pili dakika ya 58 kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Watford ambao bao lilifungwa na Roberto Pereyra kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Vicarage Road PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shedeur Sanders hits Dallas clubs with rumored girlfriend and Kodak Black
after Browns mercifully end his NFL Draft humiliation
-
He may not have been selected in the first round, but Cleveland
Browns rookie Shedeur Sanders sure celebrated like a top draft pick on
Saturday night after...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment