Kipa wa Southampton, Alex McCarthy akiokoa dhidi ya mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. Mary's. Southampton imeshinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Danny Ings mawili dakika za 20 na 44 na Charlie Austin dakika ya 85, wakati ya Arsenal yamefungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika za 28 na 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'An inadequate reaction' - Le Garrec sorry for 'dive'
-
France scrum-half Nolann le Garrec says his reaction to a slight head
contact in Racing 92's defeat by Perpignan was "inadequate".
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment