Mshambuliaji wa Chelsea, Edin Hazard akimtoka Nampalys Mendy wa Leicester City leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Leicester City imeshinda 1-0 pekee la Jamie Vardy dakika ya 51 na kwa ushindi huo inafikisha pointi 25 baada ya kucheza mechi 18 ikipanda kutoka nafasi ya 13 hadi ya tisa, wakati Chelsea inayobaki na pointi zake 37 za mechi inaendelea kushika nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Daniel Sturridge delivers savage putdown to Rasmus Hojlund as former
Liverpool star claims 'centre-backs have had more shots' than struggling
United striker this season
-
The Norwegian has endured a miserable campaign at Old Traffords, scoring
only three times in 28 appearances in his second season since a £72million
transfe...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment