Mshambuliaji wa Chelsea, Edin Hazard akimtoka Nampalys Mendy wa Leicester City leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Leicester City imeshinda 1-0 pekee la Jamie Vardy dakika ya 51 na kwa ushindi huo inafikisha pointi 25 baada ya kucheza mechi 18 ikipanda kutoka nafasi ya 13 hadi ya tisa, wakati Chelsea inayobaki na pointi zake 37 za mechi inaendelea kushika nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Paul Scholes reveals the 'odd' thing Ruben Amorim does at Man United that
he wouldn't be able to cope with
-
Manchester United legend Paul Scholes has raised concerns over one of Ruben
Amorim 's key coaching methods since he took over at Old Trafford.
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment