Son Heung-Min akitabasamu kwa furaha baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 16 na 54 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, West Ham usiku wa jana Uwanja wa London kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi England. Bao lingin la Spurs lilifungwa na Fernando Llorente dakika ya 75, wakati la WHU limefungwa na Lucas Perez 71 na sasa Tottenham itakuwa na Arsenal katika Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Pep Guardiola tweaked his Man City tactics to get the serial winners
back on track for Champions League football
-
JACK GAUGHAN: There are theories about exactly what happened on the south
coast, when City battled back from a goal down to book a spot in Sunday's
FA Cup ...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment