Mshambuliaji wa Benfica, Haris Seferovic akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Uswisi hat-trick katika ushindi wa 5-2 dhidi ya Ubelgiji jana Uwanja wa Swissporarena mjini Luzern kwenye mchezo wa Kundi la Pili Ligi ya Mataifa ya Ulaya. Seferovic alifunga dakika za 31, 44 na 84, wakati mabao mengine ya Uswisi yamefungwa na Ricardo Rodriguez kwa penalti dakika ya 26 na Nico Elvedi dakika ya 62, wakati mabao ya Ubelgiji yamefungwa na Thorgan Hazard yote dakika za pili na 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Crystal Palace 2-2 KuPS: How did the Eagles' youngsters fare, which star
took his chance AGAIN - and was Oliver Glasner right to prioritise the
Premier League?
-
WILL PICKWORTH AT SELHURST PARK: The draw meant the Eagles finished 10th in
the Conference League table, and they will now be forced into two extra
fixture...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment