Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia Chile bao la tatu dakika ya 61 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Honduras usiku wa jana Uwanja wa Manispaaa ya Bicentenario German Becker mjini Temuco. Mabao mengine ya Chile yalifungwa na Arturo Vidal dakika ya nane na 35 kwa penalti na Nicolas Castillo kwa penalti pia dakika ya 84, wakati la Honduras lilifungwa na Alexander Lopez dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eid-el-Fitr: Zamfara Governor preaches unity, peace
-
From Agaju Madugba, Katsina Governor Dauda Lawal has appealed to the people
of Zamfara State to continue to embrace unity and peace as well as reflect
de...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment