Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 67 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vicarage Road. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Trent Alexander-Arnold dakika ya 76 na Roberto Firmino dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment