Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia ushindi wa wa 4-0 dhidi ya Melilla kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme jana Uwanja wa Alvarez Claro mjini Melilla. Mabao ya Real iliyocheza mechi ya kwanza jana chini ya kocha wa muda, Santiago Solari wa timu B baada ya kufukuzwa kwa Julen Lopetegui yalifungwa na Karim Benzema dakika ya 28, Marco Asensio dakika ya 45 na ushei, Álvaro Odriozola dakika ya 7p na Cristo Gonzalez dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
300-1! Exeter stunned as wonder horse Blowers breaks 36-year record to
become longest-priced winner in British racing history
-
It has been the year for shocks on racecourses but the biggest of all
arrived at Exeter yesterday when Blowers became the longest priced winner
in British ...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment