BEKI MUIVORY COAST, ZANA COULIBALY OUMAR ALIPOFANYIWA VIPIMO VYA AFYA LEO TAYARI KUSAJILIWA SIMBA SC
Daktari bingwa wa magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), George Longopa akimfanyia vipimo vya afya ya moyo (ECHO Cardiogram) beki Coulibaly Zana Oumar kutoka Ivory Coast kuelekea kukamilisha usajili wake Simba SC
Coulibaly Zana Oumar akiwa na muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
Dk. George Longopa akiangalia majibu ya vipimo vya afya Coulibaly Zana Oumar
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment