Wayne Rooney akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili DC United dakika ya nane na la penalti dakika ya 74 na kutoa pasi ya bao lingine lililofungwa na Luciano Acosta dakika ya 24 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya New York City ambao bao lao lilifungwa na David Vill dakika ya 78 Uwanja wa Audi Field mjini Washington, District of Columbia katika Ligi ya Marekani (MLS) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I’ve been receiving death threats for telling Nigerians not to criticise
Tinubu – Peller cries out
-
By Seyi Babalola Controversial streamer Peller claims he has received death
threats after urging Nigerians to end the ongoing #30DayRants challenge on
Ti...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment