Mshambuliaji Luis Suarez wa Barcelona akishangilia kwa kuonyesha picha ya mtoto wake mpya na ujumbe; 'Welcome Lauti' baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 30 kwa penalti, 75 na 83 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Real Madrid kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 11 na A. Vidal dakika ya 87, wakati la Real limefungwa na Marcelo dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Result is not what we wanted' - games pile up for Palace
-
The games are piling up for Crystal Palace who face a two-legged play-off
in the Conference League after failing to qualify automatically for the
last 16.
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment