Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la kuongoza Juventus dakika ya 18 katika sare ya 1-1 na Genoa kwenye mchezo wa Serie A Uwanja wa Allianz mjini Torino. Genoa walisawazisha dakika ya 67 kupitia kwa Daniel Bessa huku Ronaldo akiweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufikisha mabao 400 kwenye Ligi tano za Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WNBA superstar Sophie Cunningham turns heads with viral bikini pic
alongside her three blonde friends
-
The 28-year-old appears to be enjoying the offseason with her friends and
kept turned heads with a group picture over the weekend.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment