Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la kuongoza Juventus dakika ya 18 katika sare ya 1-1 na Genoa kwenye mchezo wa Serie A Uwanja wa Allianz mjini Torino. Genoa walisawazisha dakika ya 67 kupitia kwa Daniel Bessa huku Ronaldo akiweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufikisha mabao 400 kwenye Ligi tano za Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'This is your award, not mine' - Henry dedicates Lifetime Achievement to
his children
-
Former Arsenal and France striker Thierry Henry is honoured with the
Lifetime Achievement award at BBC Sports Personality of the Year 2025.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment