Karim Benzema na Gareth Bale wakisikitika baada ya Real Madrid kupoteza tena mechi kufuatia kufungwa nyumbani, Uwanja wa Santiago Bernabeu mabao 2-1 na Levante katika mchezo wa La Liga leo. Mabao ya Levante yamefungwa Jose Luis Morales dakika ya sita na Roger Marti dakika ya 13 kwa penalti kabla ya Marcelo kuifungia Real Madrid la kufutia machozi dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tinubu urged to enforce 2018 Disability Protection Act
-
From Okwe Obi, Abuja President Bola Tinubu has been implored to implement
the Discrimination Against Persons with Disabilities (Prohibition) Act,
2018. T...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment