Karim Benzema na Gareth Bale wakisikitika baada ya Real Madrid kupoteza tena mechi kufuatia kufungwa nyumbani, Uwanja wa Santiago Bernabeu mabao 2-1 na Levante katika mchezo wa La Liga leo. Mabao ya Levante yamefungwa Jose Luis Morales dakika ya sita na Roger Marti dakika ya 13 kwa penalti kabla ya Marcelo kuifungia Real Madrid la kufutia machozi dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Heartbreaking final post by NASCAR's Greg Biffle reveals last date night
with wife who also died in plane crash
-
Biffle's Cessna C550 private jet was seen burning on a runway at
Statesville Regional Airport around 10:15am on Thursday, nine months after
obtaining his p...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment