Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho akidhibitiwa asiende kugombana na mmoja wa makocha wasaidizi wa Chelsea, Marco Ianni leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England baina ya timu hizo uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Mourinho alikasirishwa na kitendo cha Ianni kwenda kushangilia mbele yake baada ya Chelsea kupata bao la kusawazisha dakika ya mwisho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Preston 0-3 Aston Villa: Marcus Rashford at the double as first goals for
new club seal FA Cup semi-final spot at Wembley - with Jacob Ramsey also on
target
-
TOM COLLOMOSSE AT DEEPDALE: Just when they thought their season had hit
rock bottom, now United must watch their exiled hero try to lead Villa into
the FA ...
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment