Wachezaji wa Chelsea wakishangilia ushindi wao wa mabao 4-0 dhidi ya wenyeji, Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Turf Moor mabao yao yakifungwa na Alvaro Morata dakika ya 22, Ross Barkley dakika ya 57, Willian dakika ya 62 na Ruben Loftus-Cheek dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Result is not what we wanted' - games pile up for Palace
-
The games are piling up for Crystal Palace who face a two-legged play-off
in the Conference League after failing to qualify automatically for the
last 16.
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment