Bernardo Silva akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la tatu dakika ya 52 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji, Poland kwenye mchezo wa Kundi la Tatu Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Slaski mjini Chorzow. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo yalifungwa Andre Silva dakika ya 31 na Kamil Glik aliyejifunga dakika ya 42, wakati ya Poland yalifungwa na Krzysztof Piatek dakika ya 18 na Jakub Błaszczykowski dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Premier League star's son is announced as a Reform UK candidate for
Nigel Farage's party
-
His son is taking the family name into politics with Reform UK revealing
that he is their candidate for the Lapworth & West Kenilworth ward on
Warwickshire...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment