Rafinha (kushoto) akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 32 kabla ya Jordi Alba kufunga la pili dakika ya 83 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Inter Milan kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Barcelona jana ilimkosa nyota wake, Lionel Messi ambaye ni majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Akpabio: NASS committed to quality education at EKSU convocation
-
Hails EKSU’s giant strides as varsity confers honorary degrees on Senate
Leader, two others at 29th convocation ceremony From Priscilla Ediare,
Ado-Ekiti...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment