Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 17 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Bernardo Silva dakika ya 54, Fernandinho dakika ya 56, Riyad Mahrez dakika ya 83 na Leroy Sane dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment