Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 17 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Bernardo Silva dakika ya 54, Fernandinho dakika ya 56, Riyad Mahrez dakika ya 83 na Leroy Sane dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Akpabio: NASS committed to quality education at EKSU convocation
-
Hails EKSU’s giant strides as varsity confers honorary degrees on Senate
Leader, two others at 29th convocation ceremony From Priscilla Ediare,
Ado-Ekiti...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment