Danny Welbeck akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za tano na 37 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Brentford kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabo Cup usiku wa Jumatano wa Emirates mjini London. Bao lingine la Arsenal limefungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI HAPA
Bechem Utd assistant coach Seth Osei rallies players to end losing streak
in clash against Accra Lions
-
Assistant coach of Bechem United, Seth Osei, has urged players to give
their all on Saturday in their game against Accra Lions to end their losing
streak i...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment