Danny Welbeck akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za tano na 37 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Brentford kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabo Cup usiku wa Jumatano wa Emirates mjini London. Bao lingine la Arsenal limefungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI HAPA
Christian Horner SACKS Liam Lawson as Red Bull's No 2 driver after just two
races - leaving Max Verstappen 'shaken' over 'seriously bad' decision
-
JONATHAN MCEVOY: Yuki Tsunoda is promoted to drive in Lawson's place at the
Japanese Grand Prix, his home race, a week on Sunday, alongside world
champion ...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment