Erik Lamela (kushoto) akishangilia na Danny Rose (wa pili kushoto), Harry Kane (wa pili kulia) na Lucas Moura (kulia) baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la pili dakika ya 76 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion Uwanja wa The AMEX. Bao la kwanza la Spurs lilifungwa na Kane kwa penalti dakika ya 42 wakati la Brighton limefungwa na Anthony Knockaert dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The club where the captain, top scorer, women's and men's managers are the
same person
-
A day with Partick Thistle captain, top scorer, co-interim men's manager
and women's team manager Brian Graham.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment