// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); TAMBWE ALIVYOZINDUKA YANGA IKIICHAPA SINGIDA UNITED 2-0 JANA TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE TAMBWE ALIVYOZINDUKA YANGA IKIICHAPA SINGIDA UNITED 2-0 JANA TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Monday, September 24, 2018

        TAMBWE ALIVYOZINDUKA YANGA IKIICHAPA SINGIDA UNITED 2-0 JANA TAIFA

        Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akimtazama kipa wa Singida United, David Kissu baada ya kuokoa jana wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina ya timu hizo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-0 mabao yote akifunga Amissi Tambwe.  
        Mshambuliaji wa Yanga, Matheo Anthony akifumua shuti jana 
        Kiungo Ibrahim Ajib akipoga pasi ya juu  
        Kiungo wa Yanga, Deus Kaseke (kushoto) akipambana na wachezaji wa Singida United
        Kikosi cha Yanga kwenye mchezo wa jana 
        Kikosi cha Singida United kwenye mchezo wa jana
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: TAMBWE ALIVYOZINDUKA YANGA IKIICHAPA SINGIDA UNITED 2-0 JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry