Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akimtazama kipa wa Singida United, David Kissu baada ya kuokoa jana wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina ya timu hizo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-0 mabao yote akifunga Amissi Tambwe.
Mshambuliaji wa Yanga, Matheo Anthony akifumua shuti jana
Kiungo Ibrahim Ajib akipoga pasi ya juu
Kiungo wa Yanga, Deus Kaseke (kushoto) akipambana na wachezaji wa Singida United
Kikosi cha Yanga kwenye mchezo wa jana
Kikosi cha Singida United kwenye mchezo wa jana
JUST IN: Abducted Imo Catholic priest regains freedom
-
From Stanley Uzoaru, Owerri The parish priest of the Holy Family Catholic
Church, Izombe in Oguta Local Government Area of Imo State, Reverend Father
Joh...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment