Mshambuliaji Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Southampton leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Wesley Hoedt aliyejifunga dakika ya 10 na Joel Matip dakika ya 21 huo ukiwa ushindi wa saba mfululizo kwa Wekundu hao tangu kuanza kwa msimu huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The issues at Real Madrid - and the scenes at Anfield - which COULD have
Trent Alexander-Arnold reconsidering his Liverpool future, writes LEWIS
STEELE
-
LEWIS STEELE: These are the days, my friends. Those were the words of one
gentleman who was standing ambitiously on top of a bus stop with a red
flare in h...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment