Mshambuliaji Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Southampton leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Wesley Hoedt aliyejifunga dakika ya 10 na Joel Matip dakika ya 21 huo ukiwa ushindi wa saba mfululizo kwa Wekundu hao tangu kuanza kwa msimu huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fired Michigan State football coach Mel Tucker mysteriously vanishes amid
attempts to serve him with lawsuit
-
The woman who accused fired Michigan State football coach Mel Tucker of
sexual harassment says the embattled 53-year-old has vanished amid her
attempts to ...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment