Cristiano Ronaldo akikimbilia kushangilia baada ya kuifungia Juventus bao la kwanza dakika ya 81 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Frosinone Uwanja wa Benito Stirpe mjini Frosinone katika mchezo wa Serie A. Bao la pili la Juve limefungwa na Federico Bernardeschi dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Welbeck's FA Cup goal left Ferguson 'buzzing'
-
Danny Welbeck tells Football Focus that his FA Cup goal against Newcastle
in the previous round left his former manager Sir Alex Ferguson 'buzzing'.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment