Mwanasoka Bora wa Dunia, Luka Modric (kushoto) na Gareth Bale wakiwa hoi baada ya Real Madrid kufungwa bao la tatu wakilala 3-0 mbele ya Sevilla katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumatano Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla. Mabao hayo yamefungwa na Andre Silva mawili dakika za 17 na 21 na Wissam Ben Yedder dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chris Eubank Jr FAILS to make weight for Conor Benn fight and is hit with
huge $500,000 fine - days after father urged him NOT to take part in
'illegal' bout amid health concerns
-
Chris Eubank Jr has missed weight for his grudge match with Conor Benn at
the Tottenham Hotspur Stadium on Saturday night.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment