Mwanasoka Bora wa Dunia, Luka Modric (kushoto) na Gareth Bale wakiwa hoi baada ya Real Madrid kufungwa bao la tatu wakilala 3-0 mbele ya Sevilla katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumatano Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla. Mabao hayo yamefungwa na Andre Silva mawili dakika za 17 na 21 na Wissam Ben Yedder dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Carragher breaks his silence on Trent Alexander-Arnold as he closes
in on a move to Real Madrid - and questions if Liverpool star is leaving to
build his BRAND
-
Alexander-Arnold, 26, has been the subject of intense speculation for much
of this season, with the defender - alongside Virgil van Dijk and Mohamed
Salah ...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment