Kiungo wa Manchester United, Paul Pogba akitumia mwili wake kuulinda mpira dhidi ya wachezaji wa West Ham United, Noble na Fabian Balbuena katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa London. West Ham imeshinda 3-1, Pogba akitolewa dakika ya 70 kumpisha Fred. Mabao ya Wagonga Nyundo wa London yamefungwa na Felipe Anderson dakika ya tano, Victor Lindelof aliyejifunga dakika ya 43 baada ya kubabatizwa na shuti la Andriy Yarmolenko na Marko Arnautovic dakika ya 74, wakati la United limefungwa na Marcus Rashford dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NCAA urged to introduce bombshell new rule that would block transgender
athletes from women's sports
-
Those celebrating Donald Trump's ban on transgender athletes from competing
in women's sports are now calling on the NCAA to follow new testing
procedures ...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment