Mesut Ozil (kulia) akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la pili dakika ya 83 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Watford leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, London kufuatia Craig Cathcart kujifunga dakika ya 81 kuwapatia Washika Bunduki hao bao la kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arteta on Palace’s ‘clear identity and mentality’
-
Our manager believes Crystal Palace fully deserve what they’ve achieved so
far this season
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment