Winga Muargentina, Angel Di Maria akimuinua mshambuliaji Mbrazil, Neymar kumpongeza baada ya kuifungia mabao mawili Paris Saint-Germain dakika za 22 na 90 na ushei katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Nice kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa jana Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice. Bao lingine la PSG limefungwa na Christopher Nkunku dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Carragher and Gary Neville turn up the heat on 'shy' Phil Foden, who
'hasn't done enough for England'
-
The Manchester City star came under the microscope during the international
break for his performance against Albania, with Thomas Tuchel criticising
his l...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment