Winga Muargentina, Angel Di Maria akimuinua mshambuliaji Mbrazil, Neymar kumpongeza baada ya kuifungia mabao mawili Paris Saint-Germain dakika za 22 na 90 na ushei katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Nice kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa jana Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice. Bao lingine la PSG limefungwa na Christopher Nkunku dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sextortion: FBI arrests 22 Nigerians after multiple teen suicides
-
By John Ogunsemore The Federal Bureau of Investigation (FBI) has arrested
22 Nigerians allegedly involved in a financially motivated sextortion
scheme th...
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment