Wageni wa heshima wakisalimiana na wachezaji wa Yanga SC kutoka kulia Freddy Mbuna, Said Maulid ‘SMG’, Abdulkadir Mohammed ‘Tashi’ na Edibily Lunyamila kabla ya mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Simba SC Februari 17, mwaka 2001 Uwanja wa Uhuru, sasa Taifa mjini Dar es Salaam. Yangs ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Lunyamila dakika ya 47 na AllyYussuf 'Tigana' dakika ya 80 la Simba likifungwa na Steven Mapunda 'Garrincha' dakika ya 43.
Bryson DeChambeau reveals Rory McIlroy's shocking brutal snub during
Masters final showdown
-
Bryson DeChambeau, the big-hitting LIV Golf star, teed it up alongside
McIlroy with two set to battle it out for the Green Jacket over the
undulating fairw...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment