• HABARI MPYA

        Sunday, September 30, 2018

        MATOEKO YA MECHI ZOTE NA LIGI KUU SIMBA NA YANGA:

        JUMLA ya mechi 100  za Ligi Kuu na Ligi ya iliyokuwa Ligi Kuu ya Muungano zimekwishazikutanisha Simba na Yanga tangu mchezo wa kwanza Juni 7, mwaka 1975.
        Na katika mechi hizo, Yanga ndiyo iliyoshinda mara nyingi zaidi, mara 36 dhidi ya mara 27 za Simba, huku mechi nyingine 34 timu hizo zikitoka sare.  
        Mshambuliaji wa Yanga SC, Maulid Dilunga wa Yanga akiondoka na mpira akifuatiwa na mchezaji mwenzake, Sunday Manara nyuma katika mechi dhidi ya Simba SC miaka ya 1970

        REKODI YA SIMBA NA YANGA LIGI KUU PEKEE
                                P W D L Pts 
        Yanga SC 100 36 34 27 114
        Simba SC 100 27 34 36 86

        MATOKEO YA MECHI ZILIZOPITA ZA WATANI WA JADI;
        JUNI 7, 1965
        Yanga v Sunderland (Simba)
        1-0
        MFUNGAJI: Mawazo Shomvi dk. 15).

        JUNI 3,  1966
        Yanga v Sunderland (Simba)
        3-2
        WAFUNGAJI:
        Yanga: Abdulrahman Lukongo dk. 54, Andrew Tematema dk 67, Emmanuel Makaidi dk. 83. Sunderland: Mustafa Choteka dk 24, Haji Lesso dk. 86.

        NOVEMBA 26, 1966
        Sunderland v Yanga
        1-0
        MFUNGAJI: Mustafa Choteka dk. 44.

        MACHI 30, 1968
        Yanga v Sunderland
        1-0
        MFUNGAJI: Kitwana Manara dk. 28.

        JUNI 1, 1968
        Yanga v Sunderland
        5-0
        WAFUNGAJI:
        Maulid Dilunga dk. 18 (penalti), Dilunga dk. 43, Salehe Zimbwe dk. 54, Zimbwe dk. 89, Kitwana Manara dk. 86.

        MACHI 3, 1969
        Yanga v Sunderland
        (Yanga ilipewa pointi za chee na ushindi wa mabao 2-0, baada ya Sunderland kugoma kuingia uwanjani).

        JUNI 4, 1972
        Yanga v Sunderland
        1-1
        WAFUNGAJI:
        Yanga: Kitwana Manara dk. 19,
        Sunderland: Willy Mwaijibe dk. 11.

        JUNI 18, 1972
        Yanga v Simba
        1-0
        MFUNGAJI: Leonard Chitete.

        JUNI 23,  1973
        Simba v Yanga
        1-0
        MFUNGAJI: Haidari Abeid 'Muchacho' dk. 68.

        AGOSTI 10, 1974
        Yanga v Simba
        2-1
        WAFUNGAJI:
        Yanga: Gibson Sembuli dk. 87, Sunday Manara dk. 97.
        Simba: Adam Sabu dk. 16.
        (Mechi ya kihistoria iliyochezwa Uwanja wa Nyamagana mjini Mwanza).

        JULAI 19, 1977
        Simba v Yanga
        6-0
        WAFUNGAJI:
        Abdallah Kibadeni dk. 10, 42 na 89, Jumanne Hassan 'Masimenti' dk. 60 na 73, Selemani Sanga alijifunga dk. 20.

        OKTOBA 7, 1979
        Simba v Yanga
        3-1
        WAFUNGAJI:
        Simba: Nico Njohole dk. 3, Mohammed Bakari 'Tall' dk. 38, Abbas Dilunga dk.72. Yanga: Rashidi Hanzuruni dk. 4.

        OKTOBA 4, 1980
        Simba v Yanga
        3-0
        WAFUNGAJI: Abdallah Mwinyimkuu dk. 29, Thuwein Ally dk. 82, Nico Njohole dk. 83.

        SEPTEMBA 5, 1981
        Yanga v Simba
        1-0
        MFUNGAJI: Juma Hassan Mkambi dk. 42

        APRILI 29, 1982
        Yanga v Simba
        1-0
        MFUNGAJI: Rashid Hanzuruni dk 2.

        SEPTEMBA 18, 1982
        Yanga 3-0 Simba
        WAFUNGAJI:
        Omar Hussein dk. 2 na 85, Makumbi Juma dk. 62.

        FEBRUARI 10, 1983
        Yanga v Simba.
        0-0

        APRILI 16, 1983
        Yanga v Simba
        3-1
        WAFUNGAJI:
        Yanga: Charles Mkwasa dk21, Makumbi Juma dk38, Omar Hussein dk84, 
        Simba; Kihwelo Mussa dk14.

        SEPTEMBA 10, 1983, 
        Yanga v Simba 
        2-0
        WAFUNGAJI: Lila Shomari alijifunga dk. 72, Ahmed Amasha dk. 89. 

        SEPTEMBA 25, 1983
        Yanga v Simba
        1-1
        WAFUNGAJI: 
        Yanga: Makumbi Juma dk. 75, 
        Simba: Sunday Juma dk. 72.

        MACHI 10, 1984
        Yanga v Simba 
        1-1
        WAFUNGAJI: 
        Yanga: Omar Hussein dk. 72.
        Simba: Idd Pazi kwa penalti dk 20.

        JULAI 14, 1984
        Yanga v Simba 
        1-1
        WAFUNGAJI: 
        Yanga: Abeid Mziba dk. 39.
        Simba: Zamoyoni Mogella dk. 17

        MEI 19, 1985
        Yanga v Simba 
        1-1
        WAFUNGAJI: 
        Yanga: Omar Hussein dk. 6
        Simba: Mohammed Bob Chopa dk. 30.

        AGOSTI 10, 1985
        Yanga v Simba 
        2-0

        MACHI 15, 1986
        Yanga v Simba 
        1-1
        WAFUNGAJI: 
        Yanga: Abeid Mziba dk. 44
        Simba: John Hassan Douglas dk. 20.

        AGOSTI 23, 1986
        Simba v Yanga 
        2-1
        WAFUNGAJI: 
        Simba: Edward Chumila dk. 9, Malota Soma dk. 51
        Yanga: Omar Hussein dk. 5.

        JUNI 27, 1987
        Yanga v Simba 
        1-0
        MFUNGAJI: Edgar 'Fongo' Mwafongo dk. 36.

        AGOSTI 15, 1987
        Yanga v Simba 
        1-0
        MFUNGAJI: Abeid Mziba dk. 14.

        APRILI 30, 1988
        Yanga v Simba 
        1-1
        WAFUNGAJI: 
        Yanga: Justin Mtekere dk. 28
        Simba: Edward Chumila dk. 25.

        JULAI 23, 1988
        Simba v Yanga 
        2-1
        WAFUNGAJI: 
        Simba: Edward Chumila 21, John Makelele dk. 58
        Yanga: Issa Athumani dk. 36.

        JANUARI 28, 1989
        Yanga v Simba 
        2-1
        WAFUNGAJI: 
        Yanga: Issa Athumani dk. 4, Abeid Mziba dk. 85
        Simba: Malota Soma dk. 30.

        MEI 21, 1989
        Yanga v Simba
        0-0

        MEI 26, 1990 
        Simba v Yanga 
        1-0
        MFUNGAJI: Mavumbi Omari dk 6.

        OKTOBA 20, 1990
        Yanga v Simba 
        3-1
        WAFUNGAJI: 
        Yanga: Makumbi Juma dk 33, Thomas Kipese dk. 82, Sanifu Lazaro dk. 89
        Simba: Edward Chumila dk. 58.

        MEI 18, 1991
        Yanga v Simba 
        1-0
        MFUNGAJI: Said Sued 'Scud' dk.  7.

        AGOSTI 31, 1991
        Yanga v Simba 
        1-0
        MFUNGAJI: Said Sued Scud.

        OKTOBA 9, 1991
        Yanga v Simba 
        2-0
        WAFUNGAJI: Athumani China dk. 3, Abubakar Salum 'Sure Boy' dk. 54.

        NOVEMBA 13, 1991
        Yanga v Simba 
        2-0

        APRILI 12, 1992
        Yanga 1-0 Simba 
        MFUNGAJI: Kenneth Mkapa dk. 10.

        SEPTEMBA 26, 1992
        Simba v Yanga
        2-0

        OKTOBA 27, 1992
        Simba v Yanga 
        1-0
        MFUNGAJI: Damian Morisho Kimti.

        MACHI 27, 1993
        Yanga v Simba 
        2-1
        WAFUNGAJI: 
        Yanga: Said Mwamba Kizota dk. 47 na 57
        Simba: Edward Chumila dk. 75.

        JULAI 17, 1993
        Simba v Yanga 
        1-0
        MFUNGAJI: Dua Said dk. 69.

        SEPTEMBA 26, 1993
        Simba v Yanga 
        1-0
        MFUNGAJI: Dua Said dk. 13.

        NOVEMBA 6, 1993
        Simba v Yanga
        0-0

        FEBRUARI 26, 1994
        Yanga v Simba 
        2-0
        MFUNGAJI: Mohammed Hussein 'Mmachinga' na James Tungaraza 'Boli Zozo'.

        JULAI 2, 1994
        Simba v Yanga 
        4-1
        WAFUNGAJI: 
        Simba: George Masatu, Athumani China, Madaraka Selemani, Dua Saidi Yanga; Constantine Kimanda.

        NOVEMBA 2, 1994
        Simba v Yanga 
        1-0
        MFUNGAJI: Madaraka Selemani dk. 71

        NOVEMBA 21, 1994
        Simba v Yanga 
        2-0
        WAFUNGAJI: George Lucas dk. 18, Madaraka Selemani dk. 42.

        MACHI 18, 1995
        Simba v Yanga
        0-0

        OKTOBA 4, 1995
        Simba v Yanga 
        2-1
        WAFUNGAJI: 
        Simba: Said Mwamba 'Kizota' dk. 70, Mchunga Bakari dk. 79, 
        Yanga: Mohamed Hussein ÔMmachingaŐ dk. 40.

        FEBRUARI 25, 1996
        Yanga v Simba
        2-0

        SEPTEMBA 21, 1996
        Yanga v Simba 
        0-0

        OKTOBA 23, 1996
        Yanga v Simba 
        1-0
        MFUNGAJI: Mohamed Hussein 'Mmachinga' dk. 46

        NOVEMBA 9, 1996
        Yanga v Simba 
        4-4
        WAFUNGAJI:
        Yanga: Edibilly Lunyamila (penalti) dk. 28, Mustafa Hozza alijifunga dk 64, Said Mwamba 'Kizota' dk. 70, Sanifu Lazaro dk. 75.
        Simba: Thomas Kipese dk. 7, Ahmed Mwinyimkuu dk. 43, Dua Saidi dk. 60 na 90.
        (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha)

        APRILI 26, 1997
        Yanga v Simba 
        1-1
        WAFUNGAJI:
        Yanga: Idelfonce Amlima dk. 16
        Simba: Abdallah Msamba sekunde ya. 56

        AGOSTI 31, 1997
        Yanga v Simba 
        0-0

        OKTOBA 11, 1997
        Yanga v Simba 
        1-1
        WAFUNGAJI: 
        Yanga: Sekilojo Chambua dk. 52
        Simba: George Masatu dk. 89
        (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya)

        NOVEMBA 8, 1997
        Yanga v Simba 
        1-0
        MFUNGAJI: Sekilojo Chambua dk. 85
        (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma) 

        FEBRUARI 21, 1998
        Yanga v Simba 
        1-1
        WAFUNGAJI: 
        Yanga: Akida Makunda dk. 46
        Simba: Athumani Machepe dk. 88

        JUNI 7, 1998
        Yanga v Simba 
        1-1
        WAFUNGAJI: 
        Yanga: Idelfonce Amlima dk. 28
        Simba: Abuu Juma (penalti) dk. 32

        MEI 1, 1999
        Yanga v Simba 
        3-1
        WAFUNGAJI: 
        Yanga: Idd Moshi dk. 59, Kalimangonga Ongala dk. 64, Salvatory Edward dk. 70, Simba: Juma Amir dk. 12.

        AGOSTI 29, 1999
        Yanga v Simba 
        2-0
        WAFUNGAJI: Bakari Malima dk. 49, Mohamed Hussein 'Mmachinga' dk 71

        JUNI 25, 2000
        Simba v Yanga 
        2-1
        WAFUNGAJI: 
        Simba: Steven Mapunda dk. 59 na 72
        Yanga: Idd Moshi dk. 4.

        AGOSTI 5, 2000
        Yanga v Simba 
        2-0
        MFUNGAJI: Iddi Moshi 37 na 47. (Alifunga mabao hayo, akitoka kwenye fungate ya ndoa yake)

        SEPTEMBA 1, 2001
        Simba v Yanga 
        1-0
        MFUNGAJI: Joseph Kaniki dk. 76

        SEPTEMBA 30, 2001
        Simba v Yanga 
        1-1
        WAFUNGAJI: 
        Simba: Joseph Kaniki dk. 65, 
        Yanga: Sekilojo Chambua dk. 86
        (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza)

        AGOSTI 18, 2002
        Simba v Yanga 
        1-1
        WAFUNGAJI: 
        Simba: Madaraka Selemani 65
        Yanga: Sekilojo Chambua (penalti). dk. 89

        NOVEMBA 10, 2002
        Simba v Yanga 
        0-0

        SEPTEMBA 28, 2003
        Simba v Yanga 
        2-2
        WAFUNGAJI: 
        Simba: Emmanuel Gabriel dk. 27 na 36
        Yanga: Kudra Omary dk. 42, Heri Morris dk. 55

        NOVEMBA 2, 2003
        Simba v Yanga 
        0-0

        AGOSTI 7, 2004
        Simba v Yanga 
        2-1
        WAFUNGAJI: 
        Simba: Shaaban Kisiga dk. 64, Ulimboka Mwakingwe dk. 76
        Yanga: Pitchou Kongo dk. 48

        SEPTEMBA 18, 2004
        Simba v Yanga 
        1-0
        MFUNGAJI: Athumani Machuppa dk. 82

        APRILI 17,  2005
        Simba v Yanga
        2-1
        WAFUNGAJI: 
        Simba: Nurdin Msiga dk. 44, Athumani Machupa dk. 64,
        Yanga: Aaron Nyanda dk. 39
        (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

        AGOSTI 21, 2005
        Simba v Yanga 
        2-0
        MFUNGAJI: Nico Nyagawa dk. 22 na 56
        (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha)

        MACHI 26, 2006 
        Simba v Yanga.
        0-0

        OKTOBA 29, 2006
        Simba v Yanga
        0-0

        JULAI 8, 2007
        Simba v Yanga
        1-1 (dakika 120)
        WAFUNGAJI:
        Simba: Moses Odhiambo (penalti dk. 2)
        Yanga: Said Maulid (dk. 55).
        (Simba ilishinda kwa mikwaju ya penalti 5-4 baada ya sare hiyo).
        (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

        OKTOBA 24, 2007:
        Simba Vs Yanga 
        1-0
        Mfungaji: Ulimboka Mwakingwe
        (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

        APRILI 27, 2008:
        Simba Vs Yanga
        0-0

        OKT 26, 2008
        Yanga Vs Simba
        1-0
        MFUNGAJI: Ben Mwalala dk15. 
        (Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)

        APRILI  19, 2009
        Simba Vs Yanga 
        2-2
        WAFUNGAJI:
        SIMBA: Ramadhan Chombo dk 23, Haruna Moshi dk 62
        YANGA: Ben Mwalala dk48, Jerry Tegete dk90
        (Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)
        (Matokeo haya yanahusu mechi za Ligi ya Bara na iliyokuwa Ligi ya Muungano pekee)

        OKTOBA 31, 2009
        Simba Vs Yanga
        1-0
        MFUNGAJI: Mussa Hassan Mgosi dk 26
        (Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)

        APRILI 18, 2010
        Simba Vs Yanga
        4-3
        WAFUNGAJI:
        SIMBA: Uhuru Suleiman dk 3, Mussa Mgosi dk 53 na 74, Hillary Echesa dk 90+  
        YANGA: Athumani Iddi dk 30, Jerry Tegete dk 69 na 89 

        OKTOBA 16, 2010:
        Yanga Vs Simba
        1-0
        MFUNGAJI: Jerry Tegete dk 70

        MACHI 5, 2011
        Simba Vs Yanga
        1-1
        WAFUNGAJI:
        YANGA: Stefano Mwasyika (penalti) dk 59. 
        SIMBA:  Mussa Mgosi dk 73.
        (Refa Orden Mbaga alizua tafrani uwanjani, kwanza kwa kulikataa bao la kusawazisha la Simba, kisha akalikubali baada ya kujadiliana na msaidia wake namba moja)

        OKTOBA 29, 2011
        Yanga 1-0 Simba
        MFUNGAJI: Davies Mwape dakika ya 75


        MEI 6, 2012
        Simba 5-0 Yanga SC
        WAFUNGAJI: 
        Emmanuel Okwi (dk 2 na 62), Felix Sunzu (penalti 56), Juma Kaseja (penalti dk 67) na Patrick Mafisango (penalti dk 72)
        (Ligi Kuu)

        OKTOBA 3, 2013
        Simba 1-1 Yanga SC
        WAFUNGAJI:
        Simba SC: Amri Kiemba dk3
        Yanga SC: Said Bahanuzi dk65
        (Ligi Kuu)

        MEI 18, 2013
        Yanga 2-0 Simba SC
        WAFUNGAJI: Didier Kavumbangu dk 5 na Hamisi Kiiza dk 62.

        OKTOBA 20, 2013
        Yanga SC 3-3 Simba SC
        WAFUNGAJI:
        Yanga SC: Mrisho Ngassa dk15, Hamisi Kiiza dk36 na 45
        Simba SC: Betram Mombeki dk54, Joseph Owino dk58 na Gilbert Kaze dk85.

        APRILI 19, 2014
        Simba SC 1-1 Yanga SC
        WAFUNGAJI:
        Simba SC; Haroun Chanongo dk76
        Yanga SC: Simon Msuva dk86

        OKTOBA 18, 2014
        Simba SC 0-0 Yanga SC

        MACHI 8, 2015
        Simba 1-0 Yanga SC
        MFUNGAJI; Emmanuel Okwi dk52

        SEPTEMBA 26, 2015
        Yanga SC 2-0 Simba SC
        WAFUNGAJI:
        Yanga SC: Amissi Tambwe dk44 na Malimi Busungu dk79

        FEBRUARI 20, 2016
        Yanga SC 2-0 Simba SC
        WAFUNGAJI:
        Donald Ngoma dk39 na Amissi Tambwe dk72

        OKTOBA 1, 2016
        Simba 1-1 Yanga
        WAFUNGAJI: 
        Yanga: Amissi Tambwe dk26
        Simba: Shiza Kichuya dk87

        FEBRUARI 26, 2017
        Simba 2-1 Yanga
        WAFUNGAJI:
        YANGA: Simon Msuva (penalti) dk5
        SIMBA: Laudit Mavugo dk66 na Shiza Kichuya dk81

        OKTOBA 28, 2017
        1-1
        WAFUNGAJI:
        SIMBA: Shiza Kichuya dk57
        YANGA: Obrey Chirwa dk60

        APRILI 29, 2018
        Simba SC 1-0 Yanga SC
        MFUNGAJI: Erasto Nyoni dk37
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MATOEKO YA MECHI ZOTE NA LIGI KUU SIMBA NA YANGA: Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry