Wachezaji wa Manchester United wakirejea katikati kinyonge baada ya Wolves kusawazisha bao katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford leo. United walitangulia kwa bao la mchezaji wake mpya, kiungo Frederico Rodrigues Santos 'Fred' dakika ya 18 akimalizia pasi ya Mfaransa Paul Pogba, kabla ya Joao Moutinho kuisawazishia Wolverhampton dakika ya 53 akimalizia pasi ya mshambuliaji Mmexico, Raul Jimenez. Mchezo huo ulihudhuriwa na kocha wa zamani wa Mashetani Wekundu, Sir Alex Ferguson kwa mara ya kwanza tangu aripotiwe kuugua Mei mwaka huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool's ashes goal! Reds fan scatters dad's remains next to Bill
Shankly statue at the exact same time Virgil van Dijk nets West Ham winner
-
Liverpool took another step closer wo winning the Premier League with a 2-1
win against the Hammers, which came after captain van Dijk, who has
recently si...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment