Wachezaji wa Manchester City wakimpongeza Ryad Mahrez baada ya Mualgeria huyo kufunga mabao mawili dakika ya 67 na 89 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji Cardiff City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Cardiff City. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Sergio Aguero dakika ya 32, Bernardo Silva dakika ya 35 na İlkay Gundogan dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Daniel Sturridge delivers savage putdown to Rasmus Hojlund as former
Liverpool star claims 'centre-backs have had more shots' than struggling
United striker this season
-
The Norwegian has endured a miserable campaign at Old Traffords, scoring
only three times in 28 appearances in his second season since a £72million
transfe...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment