Mshambuliaji Mbelgiji wa Chelsea, Eden Hazard akipasua katikati ya mabeki chipukizi wa Waingereza wa Liverpool, Joe Gomez na Trent Alexander-Arnold katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Chelsea ilitangulia kwa bao la Hazard dakika ya 25 akimalizia pasi ya Mateo Kovacic kabla ya Daniel Sturridge kuisawazishia Liverpool dakika ya 89 akimalizia pasi ya Xherdan Shaqiri PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emma Raducanu falls to Jessica Pegula in dramatic Miami Open loss after
suffering with dizziness
-
Emma Raducanu's run at the Miami Open is over after she was beaten 6-4,
6-7, 6-2 by No 4 seed Jessica Pegula in the quarterfinals, who will avoid
No 2 seed...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment