Wachezaji wa Liverpool, Mohamed Salah na Roberto Firmino wakifanya mazoezi jana viwanja vya Melwood kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Chelsea Uwanja wa Stamford Bridge London. Liverpool inataka kulipa kisasi baada ya kufungwa 2-1 juzi katika mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa Anfiled na kutolewa mapema kwenye michuano hiyo maarufu kama Carabao Cup PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rabbitohs great Nathan Merritt allegedly caught drink driving in Sydney at
more than three times over the legal limit
-
South Sydney Rabbitohs legend Nathan Merritt spent the night locked up
after allegedly being caught drink-driving in Sydney's inner west.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment