Wachezaji wa Liverpool, Mohamed Salah na Roberto Firmino wakifanya mazoezi jana viwanja vya Melwood kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Chelsea Uwanja wa Stamford Bridge London. Liverpool inataka kulipa kisasi baada ya kufungwa 2-1 juzi katika mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa Anfiled na kutolewa mapema kwenye michuano hiyo maarufu kama Carabao Cup PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Nottingham Forest's plans to plunder South America to sign the next
wave of superstars
-
In the 76 years since George Robledo became the first South American-born
player to compete in the top flight, English football has always kept a
close eye...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment