Bondia Muingereza, Anthony Joshua (kushoto) akifurahia baada ya kumshinda mpinzani wake, Mrusi Alexander Povetkin kwa Knockout (KO) raundi ya saba usiku wa Jumamosi Uwanja wa Wembley mjini London na kuongeza mkanda wa WBA katika orodha ya mataji yake, mengine yakiwa ni ya IBO, IBF na WBO na sasa anakabiliwa na pambano la kuwania taji la WBC linaloshikiliwa na Mmarekani Deontay Leshun Wilder ili awe bingwa wa dunia wa uzito wa juu asiyepingika PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Christian Horner SACKS Liam Lawson as Red Bull's No 2 driver after just two
races - leaving Max Verstappen 'shaken' over 'seriously bad' decision
-
JONATHAN MCEVOY: Yuki Tsunoda is promoted to drive in Lawson's place at the
Japanese Grand Prix, his home race, a week on Sunday, alongside world
champion ...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment