Bondia Muingereza, Anthony Joshua (kushoto) akifurahia baada ya kumshinda mpinzani wake, Mrusi Alexander Povetkin kwa Knockout (KO) raundi ya saba usiku wa Jumamosi Uwanja wa Wembley mjini London na kuongeza mkanda wa WBA katika orodha ya mataji yake, mengine yakiwa ni ya IBO, IBF na WBO na sasa anakabiliwa na pambano la kuwania taji la WBC linaloshikiliwa na Mmarekani Deontay Leshun Wilder ili awe bingwa wa dunia wa uzito wa juu asiyepingika PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dmitri Payet insists relationship with former mistress was 'consensual' in
new testimony after ex-girlfriend accused ex-West Ham star of 'forcing her
to film bizarre sex acts' and 'drink her own urine'
-
Dimitri Payet denied 'physical and psychological violence' towards his
'mistress' in a statement to Brazilian police, a report has claimed.
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment