Mshambuliaji Mbelgiji, Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 85 ikiilaza Liverpool 2-1 usiku wa Jumatano Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao. Hazard alifunga bao hilo baada ya kuingia dakika ya 56 kuchukua nafasi ya Willian, wakati bao lingine la Chelsea limefungwa na Emerson dakika ya 79, baada ya Daniel Sturridge kutangulia kuifungia bao zuri Liverpool dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Christian Horner SACKS Liam Lawson as Red Bull's No 2 driver after just two
races - leaving Max Verstappen 'shaken' over 'seriously bad' decision
-
JONATHAN MCEVOY: Yuki Tsunoda is promoted to drive in Lawson's place at the
Japanese Grand Prix, his home race, a week on Sunday, alongside world
champion ...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment