Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid bao la kwanza dakika ya 16 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Huesca kwenye mchezo wa La Liga jana. Mabao mengine ya Atletico yalifungwa na Thomas Partey dakika ya 29 na Koke dakika ya 33 Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Schumacher insider delivers first major update on his 'very sad'
condition in years, following his tragic 2013 skiing accident
-
A leading F1 reporter has provided a major update on Michael Schumacher's
health, more than 11 years on from his tragic skiing accident.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment