Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid bao la kwanza dakika ya 16 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Huesca kwenye mchezo wa La Liga jana. Mabao mengine ya Atletico yalifungwa na Thomas Partey dakika ya 29 na Koke dakika ya 33 Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghana U15 girls set for semi-final clash with defending champions South
Africa
-
Ghana’s U15 girls will face defending champions South Africa in the
semi-finals of the CAF African Schools Football Championship on Friday,
April 25, 202...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment