Cristiano Ronaldo wa akionyesha uwezo wake katika mchezo wa Serie A Juventus ikishinda 3-1 dhidi ya Napoli Uwanja wa Allianz mjini Torino. Ronaldo aliwasetia Mario Mandzukic kufunga bao la kwanza dakika ya 26 na Leonardo Bonucci la tatu dakika ya 76. Mandzukic alifunga pia la pili dakika ya 49, wakati bao la Napoli lilifungwa na Dries Mertens dakika ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Schumacher insider delivers first major update on his 'very sad'
condition in years, following his tragic 2013 skiing accident
-
A leading F1 reporter has provided a major update on Michael Schumacher's
health, more than 11 years on from his tragic skiing accident.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment