Gerard Pique akikimbia na Lionel Messi kurudisha mpira katikati baada ya kuifungia bao la kusawazisha Barcelona dakika ya 63 katika sare ya 2-2 na Girona Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana. Hiyo ni baada ya Cristhian Stuani kuifungia mabao mawili Girona ndani ya dakika sita, dakika ya 45 na 51 kufuatia Messi kuanza kuifungia Barca dakika ya 19 katika mchezo wa La Liga. Barcelona ilimaliza pungufu baada ya refa, Gil Manzano kumtoa kwa kadi nyekundu Clement Lenglet dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Carragher breaks his silence on Trent Alexander-Arnold as he closes
in on a move to Real Madrid - and questions if Liverpool star is leaving to
build his BRAND
-
Alexander-Arnold, 26, has been the subject of intense speculation for much
of this season, with the defender - alongside Virgil van Dijk and Mohamed
Salah ...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment