Gerard Pique akikimbia na Lionel Messi kurudisha mpira katikati baada ya kuifungia bao la kusawazisha Barcelona dakika ya 63 katika sare ya 2-2 na Girona Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana. Hiyo ni baada ya Cristhian Stuani kuifungia mabao mawili Girona ndani ya dakika sita, dakika ya 45 na 51 kufuatia Messi kuanza kuifungia Barca dakika ya 19 katika mchezo wa La Liga. Barcelona ilimaliza pungufu baada ya refa, Gil Manzano kumtoa kwa kadi nyekundu Clement Lenglet dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tinubu reaffirms commitment to workers’ welfare at TUC quadrennial
conference
-
From Adanna Nnamani, Abuja President Bola Ahmed Tinubu has reaffirmed his
administration’s commitment to improving the welfare of Nigerian workers
and en...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment