Nahodha wa Barcelona, Lionel Messi akipambana katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumatano wakichapwa mabao 2-1 na Leganes Uwanja wa Manispaa ya Butarque mjini Leganes. Mabao ya Leganes yalifungwa na Nabil El Zhar dakika ya 52 na Óscar Rodríguez dakika ya 53, wakati la Barce limefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dan Quaye hails Black Stars players after back-to-back wins in World Cup
qualifiers
-
Former Ghana defender Dan Quaye has eulogized Black Stars players for their
overall performance following back-to-back wins in the 2026 World Cup
qualifier...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment