• HABARI MPYA

        Sunday, September 30, 2018

        BALE ALIUMIA JANA REAL MADRID IKILAZIMISHWA SARE NA ATLETICO

        Gareth Bale jana aliichezea kwa dakika tu 45 Real Madrid dhidi ya mahasimu wao wa Jiji, Atletico Madrid kabla ya kutolewa kufuatia kuumia na nafasi yake ikichukuliwa na
        Dani Ceballos timu hizo zikitoka sare ya 0-0 Uwanja wa Santiago Bernabeu PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: BALE ALIUMIA JANA REAL MADRID IKILAZIMISHWA SARE NA ATLETICO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry