Mshambuliaji Mgabon, Pierre-Emerick Aubameyang akibinuka sarakasi kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la pili dakika ya 59 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Bao la kwanza lilifungwa na mshambuliaji Mfaransa, Alexandre Lacazette dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Andrew Flintoff wished he had died in the aftermath of his horror Top Gear
crash and admits 'I thought my face had come off' as harrowing new details
emerge - including how his cricket instincts saved his life
-
Andrew Flintoff wished he'd died in the immediate aftermath of the car
crash horror that sparked fears he would be left without a face. 'In some
ways it wo...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment