Mshambuliaji Mgabon, Pierre-Emerick Aubameyang akibinuka sarakasi kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la pili dakika ya 59 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Bao la kwanza lilifungwa na mshambuliaji Mfaransa, Alexandre Lacazette dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emma Raducanu falls to Jessica Pegula in dramatic Miami Open loss after
suffering with dizziness
-
Emma Raducanu's run at the Miami Open is over after she was beaten 6-4,
6-7, 6-2 by No 4 seed Jessica Pegula in the quarterfinals, who will avoid
No 2 seed...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment