Marco Asensio akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao pekee dakika ya 41 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Ushindi huo unaipeleka Real kileleni ikifikisha pointi 13 baada ya kucheza mechi tano, ingawa inaweza kuachia kiti leo iwapo Barcelona yenye pointi 12 itashinda mechi yake ya tano dhidi ya Girona Jumapili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Western Sydney Wanderers offer Spanish superstar Juan Mata contract
extension - despite BENCHING the World Cup winner for most of the A-League
season
-
Western Sydney Wanderers have offered Juan Mata a one-year contract
extension - despite the midfielder warming the bench for large parts of the
A-League se...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment