Marco Asensio akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao pekee dakika ya 41 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Ushindi huo unaipeleka Real kileleni ikifikisha pointi 13 baada ya kucheza mechi tano, ingawa inaweza kuachia kiti leo iwapo Barcelona yenye pointi 12 itashinda mechi yake ya tano dhidi ya Girona Jumapili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Schumacher insider delivers first major update on his 'very sad'
condition in years, following his tragic 2013 skiing accident
-
A leading F1 reporter has provided a major update on Michael Schumacher's
health, more than 11 years on from his tragic skiing accident.
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment