Mshambuliaji Sergio Aguero akiwa ameshika jezi yake baada ya kusaini mkataba wa kuendelea kufanya kazi kwa mwaka mmoja zaidi Manchester City hadi mwaka 2021 kwa mshahara wa Pauni 220,000 kwa wiki. Aguero, mwene umri wa miaka 30, amefunga mabao zaidi ya 200 tangu amejiunga na Man City mwaka 2011 na ndiye mfungaji bora wa muda wote wa klabu baada ya Novemba mwaka jana kuvunja rekodi ya miaka 78 iliyowekwa na Eric Brook PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Schumacher insider delivers first major update on his 'very sad'
condition in years, following his tragic 2013 skiing accident
-
A leading F1 reporter has provided a major update on Michael Schumacher's
health, more than 11 years on from his tragic skiing accident.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment