Sergio Aguero akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester City dakika ya 65 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Bao la kwanza limefungwa na Raheem Sterling dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Nottingham Forest's plans to plunder South America to sign the next
wave of superstars
-
In the 76 years since George Robledo became the first South American-born
player to compete in the top flight, English football has always kept a
close eye...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment