Wachezaji wa Paris Saint-Germain, Edinson Cavani, Kyllian Mbappe na Neymar wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Angers SCO kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa leo Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa. Cavani alifunga la kwanza dakika ya 12, Mbappe la pili dakika ya 51 na Neymar la tatu dakika ya 66, wakati la Angers SCO limefungwa na Thomas Mangani dakika ya 21 kwa penalti
Female referee shows off INSANE fitness levels needed for top-level
officiating... so, can you match her rigorous workout routine?
-
Taking to social media , Sophie Dennington - who is a national refereeing
manager with the Football Association - shared a week-long insight into her
fitne...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment