Kiungo Mbrazil, Lucas Rodrigues Moura da Silva, maarufu tu kama Lucas Moura (kushoto) akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakila za 52 na 84 katika ushindi wa 3-0 wa Tottenham Hotspur dhidi ya Manchester United usiku huu Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Kulia ni mfungaji wa bao lingine la Spurs, Harry Kane dakika ya 50 na hicho ni kipigo cha pili mfululizo, wakitoka kupigwa 3-2 na Brighton & Hove Albion wiki iliyopita baada ya mwanzo mzuri wa ushindi mwembamba wa 2-1 dhidi ya Leicester City nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment